Ezra 9:8

8 a“Lakini sasa, kwa muda mfupi, Bwana Mwenyezi Mungu wetu amekuwa na neema kwa kutuachia mabaki na kutupa mahali imara katika mahali pake patakatifu, hivyo Mungu wetu atupa mwanga machoni petu na unafuu katika utumwa wetu.
Copyright information for SwhKC